1. Jumanne, 10 Desemba 2024
o MAHANDO VS MWASENGE
2. Jumatano, 11 Desemba 2024
o SALAWE STARS VS MWABENDA FC
3. Alhamisi, 12 Desemba 2024
o NUSU FAINALI:
§ Mshindi wa mechi ya Jumamosi (07.12.2024) VS Mshindi wa mechi ya Jumapili (08.12.2024)
4. Ijumaa, 13 Desemba 2024
o NUSU FAINALI:
§ Mshindi wa mechi ya Jumanne (10.12.2024) VS Mshindi wa mechi ya Jumatano (11.12.2024)
5. Mapumziko:
o Jumamosi na Jumapili, 14 - 15 Desemba 2024
6. Jumatatu, 16 Desemba 2024
o Mechi ya kutafuta mshindi wa tatu
7. Jumanne, 17 Desemba 2024
o FAINALI KUU
Kila la heri kwa timu zote! 🎉
Mashindano hayo yameandaliwa na Makamba Mussa Lameck kupitia kampuni yake ya MCL inayojihusisha na biashara ya nafaka, kwa lengo la kuibua vipaji vya michezo mkoa wa Shinyanga na maeneo jirani.
Post a Comment