" RS BERKANE MABINGWA KOMBE LA SHIRIKISHO BARANI AFRIKA

RS BERKANE MABINGWA KOMBE LA SHIRIKISHO BARANI AFRIKA

RS BERKANE MABINGWA KOMBE LA SHIRIKISHO BARANI AFRIKA.

RS Berkane wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa tatu  kombe la Shirikisho Barani Afrika baada ya kutoka sare ya 1-1 katika mchezo wa pili wa fainali dhidi ya Simba SC.

Jumla ya goli 3-1 zimetosha kuwapa RS Berkane ubingwa huo baada wa mchezo wa kwanza kushinda goli  2-0.

Post a Comment

Previous Post Next Post