DAR: Kiongozi wa Kanisa la Glory of Christ Tanzania (Kanisa la Ufufuo na Uzima), Askofu Josephat Gwajima, kupitia ukurasa wake wa Instagram Jana Juni 21, 2025, alisema alimtembelea na kumjulia hali Padri Kitima
Aliandika “Leo Tarehe 21 Juni 2025 nimepata nafasi ya kumtembelea na kumjulia hali Padre Dr Charles Kitima, Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC).”
Askofu Gwajima ambaye mara ya mwisho alionekana akizungumza hadharani Juni 2, 2025 aliongeza “Namshukuru Mungu afya yake imeendelea kuimarika.”
Post a Comment