Coustautine John Kanyasu Ambae ni Mhe,Mbunge wa jimbo la Geita Mjini Amesema amejipanga kuchukua form kwa Mara ya pili ili kuongoza awamu nyingine kwa Sababu kazi kubwa alizozifanya kushirikiana na wananchi wake zinaonekana kwa macho kanyasu Amesema Habanaishwi na watia nia wengine ,wanaotumia Majina ya viongozi wa juu ya Kwamba wamewatuma wagombee
Akizungumza na chombo hiki cha Habari Leo Tarehe 12/6/2025 Mkoani Geita Amesema amejipanga kuchukua form ya kugombea Tena Kama ilivyo kanuni na taratibu ya kila baada ya miaka 5 alisema ambapo tarehe28 Mwaka huu zoezi Hilo linafanyika la kuchukua Form
Lakini pia kanyasu Amesema watia nia wengine wamekuwa wakigawa Pesa kwa wananchi ili waje wapate Madaraka ya Kuwa wabunge katika jimbo hilo Jambo ambalo yeye anaona ni mambo ya kawaida hivyo amewataka wananchi waendelee kumwamini Tena Ili awatumikie.
Post a Comment