" ELIMU YENYE UHAKIKA WA AJIRA – JIUNGE NA CHUO CHA MADINI SHINYANGA

ELIMU YENYE UHAKIKA WA AJIRA – JIUNGE NA CHUO CHA MADINI SHINYANGA

 FURSA YA ELIMU YA MADINI NA GESI IMEWASILI!

Chuo cha Madini Shinyanga (Earth Sciences Institute of Shinyanga – ESIS) kinapokea maombi ya kujiunga kwa ngazi ya Cheti na Diploma kwa mwaka huu wa masomo.

⛏️ Kozi Zinazotolewa:
Exploration and Mining Geology
Petroleum Geology

📌 Mafunzo haya yanatolewa kwa nadharia na vitendo, yakiwajengea wanafunzi ujuzi wa moja kwa moja unaokubalika kwenye soko la ajira la ndani na nje ya nchi.

🎯 Tunawakaribisha wahitimu wa kidato cha nne na sita, pamoja na wale wanaotafuta ujuzi wa kitaalamu kwenye sekta ya madini, mafuta na gesi.

📱 Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi au kutuma maombi kupitia:

📞 +255 765 434 604
📞 +255 687 434 617
🌐 Tovuti: www.esis.ac.tz
📲 Instagram, Facebook & TikTok: @officialesis | ESIS Admission

🕐 Usikose nafasi yako – Jiunge na taasisi yenye ubora na rekodi ya kutoa wataalamu mahiri katika sekta ya madini!

 GUSA LINK HAPA CHINI👇


Post a Comment

Previous Post Next Post