" TRENI YA SGR YAPATA AJALI

TRENI YA SGR YAPATA AJALI




 

Treni ya SGR iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Dodoma imepata ajali baada ya kuacha njia yake katika eneo la Ruvu.

Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema ajali ya treni ya SGR iliyokuwa ikisafiri kutoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma leo katika eneo la Ruvu imesababishwa na hitilafu za kiuendeshaji.

TRC imesema uchunguzi wa kina kuhusu tukio hilo unaendelea, na hadi sasa hakuna kifo kilichoripotiwa.

Post a Comment

Previous Post Next Post