Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Salome Wyclef Makamba katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 18 Novemba, 2025.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemuapisha Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Wyclef Makamba, katika hafla rasmi iliyofanyika Ikulu ya Chamwino, Dodoma, tarehe 18 Novemba 2025.
Hafla hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali, ambapo Mhe. Makamba ameahidi kutekeleza majukumu yake kwa uadilifu, weledi na kwa maslahi mapana ya taifa.


Post a Comment