
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba Leo Desemba 15 amewasili Mjini Songea ambako atashiriki katika Ibada ya kutoa heshima za mwisho kwa marehemu Jenista Mhagama aliyekuwa Mbunge wa Peramisho na Waziri Mstaafu, inayofanyika kwenye Kanisa Katoliki Peramiho.
Jenista Mhagama alifariki Desemba 11, 2025 kwa maradhi ya moyo.



🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment