
Inaelezwa kuwa klabu ya Simba imefikia makubaliano ya Kimaandishi na kocha wa @singidablackstars Miguel Gamondi kama Kocha Mkuu wa @simbasctanzania ..
Gamondi kwasasa anafanya utaratibu wa kumalizana na @singidablackstars ili baada ya michuano ya AFCON kumalizika moja kwa moja atajiunga na @simbasctanzania na tayari Gamondi amewaeleza baadhi ya wachezaji wa Simba waliopo Timu ya Taifa .
Lakini pia Mchambuzi @hansrafael14 amesema kuwa baada ya kuondoka kwa Fadlu Simba walikuwa katika hatua za Mwisho kumpata Gamondi na kwa bahati mbaya dili hilo likavuja kabla ya kusaini…
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment