
Ndoto za Super Eagles ya Nigeria kufuzu Kombe la Dunia 2026 zinaweza kufufuliwa! Inaripotiwa kuwa DR Congo inakabiliwa na uchunguzi mzito kwa tuhuma za kuchezesha wachezaji wasio na sifa.
Uchunguzi huo unahusu madai kuwa wachezaji 9 walibadilisha uraia bila kukamilisha taratibu za kisheria na kiutawala zinazohitajika na FIFA. Ikiwa DR Congo watapatikana na hatia, wanaweza kupoteza pointi muhimu ambazo zitaibeba Nigeria! (Chanzo: Arise News)
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment