
Klabu ya Yanga imelimwa adhabu ya million tano (5,000,000) kwa kosa la shabiki wake kuonyesha kitendo cha kishirikina kwenye mchezo wa Ligi kuu dhidi ya Coastal Union (0-1).
Ripoti inaeleza kuwa shabiki wa klabu hiyo alienda kutoa kitu kwenye lango la Coastal Union kwenye mchezo ambao Yanga walikuwa wageni uliopigwa kwenye dimba la Jamhuri Jijini Dodoma.
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment