" SIRI YAFICHUKA: USHIRIKIANO WA WACHOCHEA VURUGU NA VYOMBO VYA HABARI VYA KIMATAIFA

SIRI YAFICHUKA: USHIRIKIANO WA WACHOCHEA VURUGU NA VYOMBO VYA HABARI VYA KIMATAIFA

Picha zinazoonesha  ushirikiano wa karibu kati ya  wachochezi wa vurugu za Oktoba 29 na shirika kubwa la kimataifa la habari, CNN zimeendelea kuvuja huku watumiaji wa mitandao wakielezea ushirikiano huo haramu ukiwa ni sehemu ya "mradi" mpana unaolenga kuchafua taswira ya Tanzania na kuhamasisha vurugu ili kufikia lengo la kuangusha Serikali iliyopo madarakani.

Miongoni mwa picha hizo ni hii inayomuonesha Maria Sarungi akizungumza na mwandishi wa CNN, Mwandishi Larry Madowo raia wa Kenya ambaye aliandika makala yenye uwongo mkubwa ikiwamo kuwapo kwa kaburi la jumla pale kwa Kondo akidai ni picha za setelaiti. 

Hata hivyo, wanamtandao wanahoji kuwa Chadema pamoja na wanaharakati wao hawajaenda kuonesha makaburi hayo yanayotajwa na Satellite "fake" ya CNN.

Imeelezwa katika mitandao kuwa Maria Sarungi ndiye aliyempatia malipo mwandishi huyo  kwa kazi ya kuufanya uchafuzi ndani ya CNN dhidi ya Tanzania. 

Mwandishi huyo wa CNN alijaribu kutumia ushawishi wake kuaminisha umma kwamba shirika hilo lilikuwa na picha za satelaiti zinazothibitisha uwepo wa makaburi hayo.

🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA KAMPUNI YA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA

Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254


Post a Comment

Previous Post Next Post