Waziri wa mambo ya ndani ya nchi mhe.Patrobass Katambi amekabidhiwa ofisi na aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani mhe.George Simbachawene ofisi za wizara ya mtumba jijini Dodoma.
Miongoni mwa viongozi waliohudhuria katika hafla hiyo ni pamoja na Naibu waziri Ayoub Mohamed Mahmoud,Katibu mkuu Ally Gugu,naibu katibu mkuu Dkt.Maduhu Kazi,wakuu wa vyombo vya usalama,wakuu wa Idara na watumishi wizara ya mambo ya ndani.
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254








Post a Comment