NA EMMANUEL MBATILO
Mwanamke mmoja amefariki dunia baada ya gari aina ya roli lenye namba ya usajili T696 CLY kuacha njia na kumgonga mwanamke huyo katika maeneo ya mataa ya Mbezi kwa Msuguli Jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa mashahidi gari hilo liliacha njia likijarabu kuwakwepa madereva pikipiki ambao walikuwa maeneo hayo na kusababisha kumgonga mtu huyo na kufariki hapo hapo.







🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254

Post a Comment