
Simba Sc wameendelea kugawa utamu kwenye Michuano ya #CAFCL baada ya kufungwa bao 1-0 na Esperance De Tunis na kuendelea kushika mkia kwenye kundi ikiwa ina pointi 0.
FT’ Espérance De Tunis
–
Simba SC
Simba hawajavuna Alama yeyote mpaka sasa kwenye mashindano ya CAFCL , timu yenye matokeo mabovu kuliko timu zote ndani ya Mashindano hayo mpaka sasa .
Kwenye makundi yote manne Simba pekee ndio wenye Alama 0 . Hali sio nzuri kwa Mnyama
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment