
Klabu ya Simba Sc imeporomoka kutoka nafasi ya tano mpaka nafasi ya 8 kwenye viwango vya ubora wa vilabu barani Afrika ndani ya miaka mitano iliyopita vilivyotoka baada ya kutamatika kwa hatua ya makundi ya michuano ya CAF kwa msimu wa 2025/26.
Simba Sc ipo nafasi ya nane ikiwa na pointi 38 huku mahasimu wao, Young Africans Sc wakiwa nafasi ya 10 baada ya kukusanya pointi 35 kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita. Azam FC na Singida Black Stars wapo nafasi ya 35 kila mmoja akiwa na pointi 5.
Al Ahly – 66 pts
Sundowns – 58 pts
Esperance Tunis – 53 pts
RS Berkane – 52 pts
Pyramids – 48 pts
Al Hilal – 39 pts
Zamalek – 39 pts
𝟖.𝐒𝐢𝐦𝐛𝐚 – 𝟑𝟖 𝐩𝐭𝐬
USMA – 37 pts
𝟏𝟎.𝐘𝐚𝐧𝐠𝐚 – 𝟑𝟓 𝐩𝐭𝐬
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA KAMPUNI YA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment