" Tume ya Uchunguzi Kuwasilisha Ripoti Yake kesho April 23

Tume ya Uchunguzi Kuwasilisha Ripoti Yake kesho April 23

 

Jaji Chande Aulizwa Maswali Magumu na Wahariri wa Vyombo vya Habari Kuhusu Tume ya Uchunguzi
 

Tume ya Uchunguzi ya matukio ya Oktoba 29 inatarajiwa kuwasilisha ripoti yake tarehe 23 mwezi huu (Alhamisi) kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Othman Chande, wakati akizungumza na waandishi wa habari  katika ofisi za Tume jijini Dar es Salaam.

Tume hiyo imesema ripoti hiyo itakuwa msingi muhimu wa kutoa mwelekeo kuhusu matukio hayo.

Post a Comment

Previous Post Next Post