" ALIVUNJA MPANGO WA KOCHA! MUSSA NYANDA ALIYELIA BAADA YA PENATI

ALIVUNJA MPANGO WA KOCHA! MUSSA NYANDA ALIYELIA BAADA YA PENATI

Baada ya wachezaji wawili wa kwanza wa Manheigana FC kukosa penati, Mussa Nyanda alishindwa kuvumilia kuona timu yake ikizidi kuwa kwenye hatari ya kuondolewa. Ingawa alikuwa amepangwa kupiga penati ya tano, aliamua kujitolea na kwenda kupiga penati ya tatu. Aliifungia timu yake kwa utulivu mkubwa, lakini juhudi zake hazikutosha kuiokoa Manheigana FC. Baada ya mchezo kumalizika, hisia zilimzidi na akatokwa na machozi. Huu ndiyo uzuri na uchungu wa mpira wa miguu.

SHY TALENT FILMS - CONTENT YA MWISHO DRAMA

🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA KAMPUNI YA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA

  • Wasiliana nasi:
    📍 East African Spirits (T) Ltd
    📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254

Post a Comment

Previous Post Next Post