
Waziri wa Ujenzi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Abdallah Ulega licha ya kuwakilishwa na Mbunge wa Viti maalum Pwani ambaye pia ni Mkewe naye alizungumza na Walimu pamoja na wanafunzi wa Shule ya Sekondari KARIBUNI kwa Njia ya simu.
Tukio hili la kumuenzi Mhe. Ulega katika shule hiyo ambayo alipata Elimu yake ya Msingi kabla haijabadirishwa na Kua Sekondari limeambatana na Upandaji wa miti.
Hii ni Programu ya Jeshi la Polisi ya kushawishi zaidi wanafunzi kusoma kwa bidii kwa kukutanishwa na watu Maarufu wenye mafaniko waluosoma kwenye shule zao
SHY TALENT FILMS - CONTENT YA MWISHO DRAMA
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA KAMPUNI YA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment