
Trump alitoa ahadi hiyo wakati akizungumza katika mkutano wa Republican mjini Dallas, Texas, akisema malipo hayo yatakuwa kama “dividend” kwa wananchi kutokana na kile alichodai kuwa ni mafanikio makubwa ya kiuchumi ya Marekani.
Aidha, Trump amesema fedha hizo zitakuwa na sharti kwamba zitatakiwa kutumika ndani ya Marekani.
Hata hivyo, hakutoa maelezo ya kina kuhusu chanzo cha fedha hizo au namna mpango huo utakavyotekelezwa. Vyombo vya habari vimeeleza kuwa mpango huo unaweza kugharimu zaidi ya dola trilioni moja, na hivyo kuibua maswali kuhusu uwezekano wake wa kutekelezwa.
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA KAMPUNI YA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment