
Nilimaliza chuo kikuu nikiwa na matumaini makubwa. Nilihitimu kwa daraja la kwanza katika masomo ya uhasibu, nikijua wazi kuwa kazi itanifuata haraka. Lakini miaka ikapita bila hata kupata nafasi ya usaili. Nilituma maombi ya kazi kila wiki, nikafika hatua ya kufunga na kuomba kila Alhamisi, nikitumaini Mungu angesikia kilio changu.
Nilikuwa mtu wa imani. Nilihudhuria ibada kila Jumapili, nikashiriki mafungo na hata kujiunga na vikundi vya maombi. Nilijitahidi kuwa na maadili bora na nidhamu isiyoyumba, lakini bado nilikuwa nakaa nyumbani kwa wazazi wangu huku wenzangu waliomaliza chuo pamoja wakiendelea na maisha.
Wakati mwingine watu walinidhani mchoyo wa mafanikio. “Labda ni kiburi chake,” wengine walisema. Nilihisi aibu, hasira na uchungu mwingi. Nilianza kujitilia shaka labda kuna kitu ndani yangu kisichoeleweka. Maisha yakawa magumu sana, hadi nikaacha kuamini kama kweli kuna siku nitapata kazi.

Siku moja nilikutana na rafiki yangu wa zamani wa shule ya sekondari, tulipozungumza alimshangaa sana kuwa bado sina ajira. Aliniangalia kwa macho ya huruma na kuniambia kwa upole, “Rafiki, sio kila kitu ni cha kawaida.
Wengine huwa tunazaliwa na mizigo isiyo yetu laana za kifamilia zinaweza kufunga milango ya mafanikio bila hata sisi kujua.” Nilidhani anatania, lakini aliniambia kuwa hata yeye alipitia hali kama yangu hadi alipoamua kutafuta msaada wa kiroho kutoka kwa Kiwanga Doctors.
Alinipa namba yao: +255 763 926 750. Niliipiga kwa wasiwasi mwingi lakini nikaamua kujaribu. Nilipofika kwao, walinisikiliza kwa makini, kisha wakaniambia kitu ambacho kilinitikisa moyo.
Waliona wazi kuwa kuna laana ya kifamilia ya kwamba hakuna mwanaume wa ukoo wetu aliyewahi kupata kazi ya kudumu au kuwa na maisha ya kujitegemea. Walinieleza kuwa ilikuwa ni mfululizo wa vizazi uliokuwa umefungwa kiroho, na niliurithi bila hata kujua.

Walinitengenezea dawa maalum ya kujisafisha kiroho, pamoja na maji ya kuoga kwa siku saba mfululizo usiku. Pia walinipa mafuta ya kujipaka kabla ya kwenda kwenye usaili au shughuli yoyote ya kutafuta riziki. Zaidi walinifanyia tambiko la kukata hiyo mnyororo wa laana uliokuwa umetufunga kama familia.
Ndani ya wiki mbili tu baada ya kumaliza hiyo tiba, nilipigiwa simu ya usaili kutoka kwenye kampuni ambayo nilikuwa nimetuma maombi miezi minne kabla. Nilishangaa sana. Nilihudhuria usaili nikiwa na utulivu mwingi, nikapita na kupewa kazi mara moja. Sikuamini kilichotokea ilikuwa kama ndoto.
Leo hii, nina ajira ya kudumu serikalini kama mchambuzi wa fedha. Nimeweza pia kusaidia ndugu zangu wengine waliokuwa wamefungwa na laana hiyo hiyo. Kwa kweli, si kila matatizo ni ya kawaida. Wakati mwingine maisha yanahitaji usafishaji wa kiroho ili baraka zako zipite.
Nashukuru sana Kiwanga Doctors kwa kuniokoa kwenye giza la kutokujua. Kama na wewe umekuwa ukijitahidi kila njia bila mafanikio, usione haya kutafuta msaada. Maisha yanaweza kubadilika ghafla, kama yangu yalivyobadilika.
SOMA ZAIDI
Post a Comment