" Nilikuwa Naishi Kwenye Banda la Mabati Sasa Majirani Wanapiga Picha Kwenye Nyumba Yangu ya Ghorofa

Nilikuwa Naishi Kwenye Banda la Mabati Sasa Majirani Wanapiga Picha Kwenye Nyumba Yangu ya Ghorofa




Wakati wengine walikuwa wanazungumzia ndoto zao za kuishi kwenye majumba ya kifahari, mimi nilikuwa nalala kwenye godoro lililotoboka ndani ya banda la mabati. Sauti ya mbu na mvua ilikuwa ya kawaida usiku, na mara kadhaa nililazimika kufunika godoro kwa nailoni ili kuliepusha na matope. Hicho ndicho kilikuwa ‘chumba changu’ na sikuwahi hata kufikiria kuwa ningeweza kuamka ndani ya nyumba yangu mwenyewe ya ghorofa.


Jina langu ni Jackson, nina umri wa miaka 31, mzaliwa wa Kigoma lakini nimeishi Temeke kwa miaka zaidi ya kumi. Nilipohamia Dar, lengo langu lilikuwa moja kutafuta maisha bora. Lakini miaka ikasonga, kazi zikawa za mikataba ya siku mbili tatu, mshahara wa vibarua hauwezi hata kulipa kodi ya banda. Nilijikuta nikishindwa hata kula milo miwili kwa siku.

Nilikuwa nauza chipsi kwenye kibanda cha rafiki yangu, ambaye alinipa nafasi ya kujifunza na hatimaye kunipa zamu yake usiku. Siku zangu zilikuwa zinalala saa tisa alfajiri, naamka saa nne kwa kelele za watu na joto la Dar. Mwaka mmoja, miwili, mitano hakuna kilichobadilika. Hadi siku moja nilikutana na mteja mmoja aliyebadilisha mtazamo wangu wote kuhusu maisha.



Alikuwa ni mzee mmoja mwenye heshima, ambaye alifika kwenye kibanda changu kila Ijumaa bila kukosa. Alikuwa mwepesi wa tabasamu, na kila mara alikuwa akiniambia, “Kijana una roho ya biashara lakini una kitu kinakuzuilia.” Sikumuelewa mwanzoni. Alinitajia kuhusu pete ya bahati aliyowahi kupewa na Kiwanga Doctors miaka mingi iliyopita, na kuniambia ipo njia ya kuondoa mikosi ambayo si kila mtu anaijua.

Kwa muda mrefu nilidharau maneno yake. Niliamini kazi na bidii pekee ndivyo vinaweza kunitoa. Lakini nilipofika mahali hata kulipa kodi ya kibanda ikawa shida, nikaamua kujaribu. Nilimpigia simu akanipa maelekezo ya namna ya kupata pete ya bahati alitaja kwamba ni pete ya aina ya kipekee inayosaidia kuvuta neema, mikataba, na pesa. Hakuongea mengi, lakini sauti yake ilikuwa ya mtu mwenye uhakika. Sikutaka kuamini sana, lakini nilijipa moyo kwani nilishapoteza kila kitu, nini kingine kilibaki?

Nilipopata pete hiyo, siku ya kwanza haikutokea chochote. Lakini ndani ya wiki moja, nilipata mteja mmoja aliyenunua chipsi kwa elfu kumi, akanilipa elfu hamsini na kusema “bakisha hiyo.” Wiki iliyofuata nikapata nafasi ya ku supply viazi kwenye shule ya sekondari jirani na pale ndipo mlango wa neema ulipofunguka rasmi.

Kwa miezi minne iliyofuata, nilipata faida kubwa kuliko miaka mitano ya kazi ya vibarua. Nilipanua biashara kutoka chipsi hadi kuuza matunda, kisha nikafungua duka la jumla la vyakula vya rejareja. Nilihama kwenye banda la mabati na kwenda kwenye chumba cha kupanga lakini haikuisha hapo.



Mwaka mmoja baadaye, niliweza kununua kiwanja kule Mbagala-Kisewe. Nilipoanza ujenzi, watu walinicheka, wakisema “Huyo atachimba msingi na kuishia hapo.” Lakini nilijua kilichokuwa mgongoni mwangu. Nilijitahidi, nikatunza pesa, na ndani ya mwaka mmoja na nusu, ghorofa yangu ya vyumba vitatu juu, viwili chini, ilikamilika.

Siku ya kuhamia, majirani walijazana kama harusi. Wengine walipiga picha, wengine walichungulia kupitia uzio, wengine wakatoa tetesi za kuwa nimepata msaada kutoka kwa mzungu au kurithi mali. Hawakujua kwamba kulikuwa na nguvu nyingine nyuma ya mafanikio hayo pete ya bahati niliyoipata kupitia mtu niliyemkuta kwenye kibanda cha chipsi.

Leo hii, natembelea hoteli za kifahari, na gari langu binafsi linapaki nje ya duka langu la jumla. Familia yangu ya Kigoma sasa wanaishi vizuri, watoto wangu wanasoma shule za binafsi, na kila Jumapili natoa msaada kwa watoto wa mtaani kama shukrani kwa safari yangu.

Ninapowaona vijana wakihangaika kama nilivyohangaika, nawashauri wasiache kujaribu lakini pia wasiogope kutafuta msaada wa kipekee unapohitajika. Sio kila kitu kinatatuliwa na bidii peke yake; wakati mwingine bahati nayo huhitaji kushikwa mkono.

Kwa yeyote anayehisi amekwama kimaisha, ambaye hana mwanga mbele, mimi ni ushuhuda hai kwamba hata kutoka kwenye banda la mabati unaweza kusimama na kujenga nyumba ya ghorofa. Nilipata msaada kupitia pete ya bahati kutoka kwa wataalamu wa mitishamba, na leo maisha yangu ni ushuhuda wa neema isiyo na mipaka.

Unaweza kuwasiliana nao kupitia:
+255 763 926 750

SOMA ZAIDI

Post a Comment

Previous Post Next Post