
Kulikuwa na sintofahamu kubwa kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii jana baada ya mwanamke mmoja kuonekana kwenye runinga ya taifa akitoa madai mazito dhidi ya Rais wa nchi. Mama huyo, anayefahamika kwa jina la Rehema, alisema kwa sauti ya uchungu na machozi kwamba mtoto wake wa miaka 8 ni damu ya Rais lakini alilazimika kunyamaza kwa miaka yote hiyo kutokana na vitisho na hofu.
“Nilikuwa na uhusiano wa karibu sana naye, kipindi bado hajawa mtu mkubwa. Tulikuwa tunapendana sana. Lakini nilipopata ujauzito, mambo yalibadilika ghafla,” alisema Rehema akiwa kwenye mahojiano ya moja kwa moja. “Nilitishwa, nilihamishwa kutoka Dar es Salaam hadi Musoma, nikaambiwa nisijaribu kusema lolote.”
Kulingana na simulizi yake, alikutana na mwanasiasa huyo miaka tisa iliyopita alipokuwa kwenye kampeni za ubunge. Alisema walikuwa wakionana mara kwa mara na hata kulala naye katika nyumba ya wageni moja jijini Mwanza. “Wakati huo aliahidi tutaoana, na hata nikapata mimba hakupinga mpaka pale jina lake lilipoanza kupanda kisiasa. Niligeuzwa adui.”
Baada ya kuzaliwa kwa mtoto, Rehema alidai kwamba hakupewa msaada wowote wa malezi. Alijaribu kila njia kumfikia mume wa zamani, lakini alikutana na ukimya na watu waliomtishia maisha. “Nilinyamaza kwa sababu nilihofia maisha yangu na ya mwanangu. Lakini sasa mwanangu anauliza baba yake ni nani, na siwezi kumdanganya tena.”
Kufuatia mahojiano hayo, mjadala mkubwa umeibuka. Wapo wanaoamini kuwa mama huyo anajaribu kutafuta kiki au pesa, lakini wapo pia waliompongeza kwa ujasiri wa kuzungumza ukweli wake. Wanasiasa kadhaa wa upinzani wameitaka serikali ichunguze madai hayo na kama ni kweli, Rais ahusishwe kwenye majukumu ya malezi.

Wakati hali hiyo ikiendelea kuchacha, Rehema alisimulia pia kwamba alifikia hatua ya kupoteza matumaini. Alipatwa na msongo wa mawazo, alikosa ajira, na hata kuugua kwa muda mrefu. “Ilikuwa kama kuna laana juu yangu. Nilihisi mimi ni mtu asiye na thamani tena,” alieleza kwa majonzi.
Lakini alieleza kwamba maisha yake yalianza kubadilika miezi sita iliyopita baada ya kushauriwa na jirani mmoja ambaye alimwelekeza kwa Kiwanga Doctors. “Nilikuwa nimechoka. Niliamua kujaribu dawa za mitishamba za Kiwanga Doctors, kwa kuwa niliambiwa wanaweza kusaidia kuondoa mikosi, kufungua njia na kulinda mtoto dhidi ya madhara,” alisema.
Baada ya kupata huduma kutoka Kiwanga Doctors kupitia namba +255 763 926 750, Rehema anasema mambo yake yalianza kubadilika haraka. Alipata kazi ndogo ya kujikimu, afya yake ikarejea na hata mtoto wake alianza kufanya vizuri shuleni. Ndipo akajipa ujasiri wa kusema ukweli hadharani.
“Sauti yangu ilikuwa imenyamazishwa kwa muda mrefu. Lakini siwezi tena kubeba siri ya mtoto wangu ambaye ana haki ya kumjua baba yake,” alisema kwa uthabiti. “Najua kuwa kuna watakaosema natunga. Lakini Mungu anajua ukweli. Na Kiwanga Doctors walinisaidia kuwa jasiri hadi nimefika hapa.”
Kwa sasa, kesi hiyo inaendelea kushika kasi huku wanaharakati wa haki za wanawake wakimtaka Rais kutoa kauli kuhusu madai hayo.
Kwa yeyote anayehisi kunyamazishwa na mikosi ya maisha, hofu au masaibu ya familia, usisite kuwasiliana na Kiwanga Doctors kwa namba +255 763 926 750. Wanaweza kukusaidia
SOMA ZAIDI
Post a Comment