" EWURA YAPONGEZA MWITIKIO WA WANANCHI NANENANE MWANZA

EWURA YAPONGEZA MWITIKIO WA WANANCHI NANENANE MWANZA

 Na Mwandishi wetu, Misalaba Media 

Mejena  wa Ewura kanda ya ziwa George Mhina ametoa pongezi kwa wananchi wa kanda ya ziwa Maghalibi waliojuika kushiriki  Maonesho ya Nane Nane waliokuja kupata Elimu katika Banda la Ewura viwanja vya Nyamhongoro Mkoani Mwanza 

Mhina Amesema mwitikio wa wananchi waliokuja kupata Elimu katika Banda Hilo Ni Mkubwa na amewataka wananchi waendelee kutembelea katika Office za Ewura zilizopo Mkoan Mwanza

Maonesho haya yalizinduliwa Tarehe1/8/2025 na ambapo Kilele Ni Leo, Maonesho haya yana kauli Mbiu Isemayo Chagua viongozi bora kwa Maendeleo Endelevu Kilimo Uvuvi na Mifugo.



Post a Comment

Previous Post Next Post