" UDAHILI UNAENDELEA CHUO CHA MADINI SHINYANGA (ESIS) – FURSA ZA MKOPO ZINAPATIKANA!

UDAHILI UNAENDELEA CHUO CHA MADINI SHINYANGA (ESIS) – FURSA ZA MKOPO ZINAPATIKANA!

 CHUO CHA MADINI SHINYANGA (ESIS)

🌍 Earth Sciences Institute of Shinyanga

📢 UDAHILI UNAENDELEA!
Kwa ngazi ya Cheti (Certificate) na Diploma katika kozi zifuatazo:

Exploration and Mining Geology (Utafutaji na Uchimbaji wa Madini)
Petroleum Geology (Jiolojia ya Mafuta na Gesi Asilia)

🟨 Pia, tunatoa Kozi Maalum za Muda Mfupi (Tailor Made Short Courses) kwa mahitaji ya wadau wa sekta ya madini na mafuta.

🎯 Faida za Kusoma ESIS

  • Mafunzo ya vitendo yanayokujenga kitaaluma na kiajira.

  • Fursa za ajira katika sekta ya Madini, Mafuta na Gesi.

  • Wanafunzi wote wenye sifa ya kupata mkopo wa Serikali kupitia Bodi ya Mikopo (HESLB) watapata fursa hiyo kwa mujibu wa taratibu na vigezo vya Serikali.

🌐 Omba Sasa: www.esis.ac.tz
📞 Wasiliana Nasi:
+255 765 434 604 | +255 687 434 617

GUSA LINK HAPA CHINI👇


Post a Comment

Previous Post Next Post