" MGOMBEA UBUNGE AAHIDI KUBORESHA ELIMU, PEMBEJEO ZA KILIMO

MGOMBEA UBUNGE AAHIDI KUBORESHA ELIMU, PEMBEJEO ZA KILIMO

Mgombea Ubunge Jimbo la Manonga, Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora, Abubakar Omar, amewaahidi wananchi wa Jimbo hilo, kuwa endapo watamchagua kuwa Mbunge wao, ataweka kipaumbe katika masuala ya elimu na upatikanaji pembejeo za Kilimo. Hayo ameyaeleza mapema leo kwenye Mkutano wa kampeni ulio fanyika katani Nkinga jimboni hapo. Msikilize...

🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA KAMPUNI YA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA

Post a Comment

Previous Post Next Post