" MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KIGOMA MJINI ACT WAZALENDO AENDELEZA KAMPENI ZAKE

MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KIGOMA MJINI ACT WAZALENDO AENDELEZA KAMPENI ZAKE











Mgombea ubunge jimbo la kigoma mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe akihutubia wakati wa mkutano wake wa kampeni uliofanyika kata ya Buhanda jimboni hapo, mkoani Kigoma, Septemba 24, 2025. Mgombea ubunge jimbo la kigoma mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe akikata keki aliyokabidhiwa wakati wa mkutano wake wa kampeni, ikiwa ni kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa, kata ya Buhanda jimboni hapo, mkoani Kigoma, Septemba 24, 2025.

Mwenyekiti wa Ngome ya vijana wa ACT, Abdul Nondo akionyesha bango lenye maelezo kuhusu mradi wa soko la jioni la Marungu lililojengwa kwa ufadhili wa ubalozi wa Denmark, ambapo fedha za mradi huo ziliombwa na mbunge wa wakati huo wa jimbo la Kigoma.






Post a Comment

Previous Post Next Post