Jaji Mwambegele yupo Mkoani Iringa kukagua maandalizi hayo na kutazama kampeni za wagombea katika majimbo ya Mkoa wa Iringa
kwa mujibu wa ratiba iliyotangazwa na Tume,Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 unatarajiwa kufanyika Oktoba 29, mwaka huu.
"Kura Yako Haki Yako Jitokeze Kupiga Kura"
Mratibu wa Uchaguzi Mkoa wa Iringa Bi. Nuru Sovella akizungumza jambo wakati wa utoaji wa taarifa maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 kwa Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele
Msimamizi Jimbo la Mafinga Mjini Mwalimu Doroth Kobelo akiwasilisha taarifa ya maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 kwa Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele (katikati) kulia ni Mratibu wa Uchaguzi Mkoa wa Iringa, Bi. Nuru Sovella.
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akizungumza na wasimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Mafinga Mjini ambapo aliwasisitiza kutekeleza majukumu yao kwa weledi na ufanisi.
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akizungumza na wasimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Mafinga Mjini ambapo aliwasisitiza kutekeleza majukumu yao kwa weledi na ufanisi.
Mratibu wa Uchaguzi Mkoa wa Iringa, Bi. Nuru Sovella akisikiliza kwa umakini
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akiangalia sehemu ya vifaa vya uchagzi ambavyo vimeshapokelewa.
Post a Comment