" KWAHERI SIMBA SC LIGI YA MABINGWA BARANI AFRIKA

KWAHERI SIMBA SC LIGI YA MABINGWA BARANI AFRIKA






Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wamefanikiwa kupata sare ya bao 1-1 dhidi ya Petro de Luanda katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, hatua ya makundi, uliopigwa leo, tarehe 7 Februari 2026, nchini Angola.

Kufuatia matokeo hayo, ndoto za Simba SC za kusonga mbele katika michuano hiyo zimefikia tamati baada ya kushindwa kufikisha idadi ya pointi zinazohitajika

Post a Comment

Previous Post Next Post