" Spika wa Bunge aongoza Kikao cha Dharura cha Kamati ya Uongozi

Spika wa Bunge aongoza Kikao cha Dharura cha Kamati ya Uongozi


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu,  leo Machi 25, 2026 katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi iliyokutana  kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na  Wenye Ulemavu ) na Mbunge wa Jimbo la Isimani, Marehemu Mhe. William Lukuvi






Post a Comment

Previous Post Next Post