" Malema ahukumiwa miaka mitano gerezani

Malema ahukumiwa miaka mitano gerezani

 

Julius Malema Ahukumiwa Miaka Mitano Gerezani
MAHAKAMA nchini Afrika Kusini leo imemhukumu kiongozi wa upinzani Julius Malema, kifungo cha miaka mitano jela kwa kosa la kufyatua risasi kwa kutumia bunduki ya kivita katika mkutano wa hadhara miaka minane iliyopita.

Mamia ya wafuasi waliovaa mavazi mekundu ya chama chake cha Economic Freedom Fighters (EFF) walijikusanya nje ya mahakama wakati hukumu hiyo ikitolewa, katika kesi iliyokuwa na mvutano mkubwa wa kisiasa.

Hakimu Twanet Olivier alisema Malema alivunja sheria za umiliki na matumizi ya silaha kwa makusudi, baada ya kufyatua risasi angani mwaka 2018 wakati wa maadhimisho ya chama chake cha EFF.

SHY TALENT FILMS - CONTENT YA MWISHO DRAMA

🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA KAMPUNI YA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA

  • Wasiliana nasi:
    📍 East African Spirits (T) Ltd
    📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254

Post a Comment

Previous Post Next Post