
Mamia ya wafuasi waliovaa mavazi mekundu ya chama chake cha Economic Freedom Fighters (EFF) walijikusanya nje ya mahakama wakati hukumu hiyo ikitolewa, katika kesi iliyokuwa na mvutano mkubwa wa kisiasa.
Hakimu Twanet Olivier alisema Malema alivunja sheria za umiliki na matumizi ya silaha kwa makusudi, baada ya kufyatua risasi angani mwaka 2018 wakati wa maadhimisho ya chama chake cha EFF.
SHY TALENT FILMS - CONTENT YA MWISHO DRAMA
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA KAMPUNI YA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment