" MABALA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA SIASA MKOA WA SHINYANGA

MABALA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA SIASA MKOA WA SHINYANGA

2024,Disemba,16

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga Ndugu Mabala Mlolwa .Leo tarehe 16.12.2024
Ameongoza kikao Cha dharura Cha Kamati ya Siasa ya Halmashauri kuu ya CCM Mkoa wa Shinyanga.

Imetolewa na :-

Richard Raphael Masele, Katibu wa Siasa Uenezi na Mafunzo CCM Mkoa wa Shinyanga.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Mabala Mlolwa akiongoza kikao Leo.




Post a Comment

Previous Post Next Post