" CHUO CHA MADINI SHINYANGA (ESIS) KINAWATAKIA WAKULIMA NA WATANZANIA WOTE MAADHIMISHO YENYE BARAKA YA SIKUKUU YA WAKULIMA – NANE NANE

CHUO CHA MADINI SHINYANGA (ESIS) KINAWATAKIA WAKULIMA NA WATANZANIA WOTE MAADHIMISHO YENYE BARAKA YA SIKUKUU YA WAKULIMA – NANE NANE



CHUO CHA MADINI SHINYANGA (ESIS)
🌾 KINAWATAKIA WAKULIMA NA WATANZANIA WOTE 🌾
MAADHIMISHO YENYE BARAKA YA SIKUKUU YA WAKULIMA – NANE NANE

🎓 UDAHILI UNAENDELEA!
Pata nafasi ya kusomea fani za madini na mafuta katika ngazi ya Cheti (Certificate) na Diploma, pamoja na Kozi Maalum za Muda Mfupi (Tailor Made Short Courses).

Exploration and Mining Geology (Utafiti na Uchimbaji wa Madini)
Petroleum Geology (Jiolojia ya Mafuta na Gesi Asilia)

💡 Wanafunzi wenye sifa ya kupata mkopo wa Serikali kupitia Bodi ya Mikopo (HESLB) watapata fursa hiyo kwa mujibu wa taratibu na vigezo vya Serikali.

🌐 Omba Sasa: www.esis.ac.tz
📞 Mawasiliano: +255 765 434 604 | +255 687 434 617

GUSA LINK HAPA CHINI👇


Post a Comment

Previous Post Next Post