" UNGANA NASI KATIKA ZOEZI LA UCHANGIAJI WA DAMU – AIC KAMBARAGE

UNGANA NASI KATIKA ZOEZI LA UCHANGIAJI WA DAMU – AIC KAMBARAGE

UNGANA NASI KATIKA ZOEZI LA UCHANGIAJI WA DAMU – AIC KAMBARAGE

Watu wote tukutane kila siku kuanzia Jumanne hii tarehe 27/01/2026 asubuhi hadi Ijumaa tarehe 28/01/2026 katika Viwanja vya Kanisa la AICT Kambarage  -Shinyanga ili tuweze kushiriki kwa pamoja zoezi hili la Uchangiaji wa Damu.

Kuna sadaka gani nyingine utatoa zaidi ya Hii?

 CHANGIA DAMU, OKOA MAISHA

___________________

USIKU WA SHUKURANI 2026 - BARAKA TELE

Wewe je! Utakuwepo?

👌🏽Karibu uungane nasi kumrudishia Mungu Sifa na Shukurani za Mioyo yetu kupitia Ibada hii kubwa.

USIKU WA SHUKURANI (Season II) 2026 - ABUNDANT BLESSINGS💪🏿

Kanda ya Ziwa yote na Mkoa Mzima wa Shinyanga tutakutana sehemu moja tu…

Siku ya Ijumaa, 30 January 2026

📍 AICT Kambarage Church-Shinyanga, Tanzania.

️ 1:00 Usiku - 12:00 Asubuhi

👏👏HAKUNA KIINGILIO👏

📞 MAWASILIANO – TISHETI & UDHAMINI

Kwa yeyote anayehitaji tisheti au sweta za Usiku wa Shukurani, au anayependa kushiriki kama mdhamini:

📱 +255 685 788 063 – AICT Kambarage Choir

📍 Wauzaji – Shinyanga:
• Majengo & Mjini: Leonadia – +255 614 028 803
• Kambarage & Ndala: Abel – +255 628 495 081


 


Post a Comment

Previous Post Next Post